Local,Normal News,KMC, Namungo

KMC mikononi mwa Namungo NBC PL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 Oct 2024
KMC mikononi mwa Namungo NBC PL

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja kati ya KMC dhidi ya Namungo Fc utapigwa uwanja wa KMC Comlex, Kinondoni jijini Dar es salaam

Ni mechi itakayozikutanisha timu mbili ambazo zimezinduka zikitoka kushinda mechi zao zilizopita

KMC waliichapa Prisons mabao 2-1 katika mchezo uliopita wakati Namungo Fc ambayo inanolewa na kocha Juma Mgunda, iliichapa Pamba Jiji bao 1-0

Kama KMC itaibuka na ushindi katika mchezo huo unaweza kusogea hadi nafasi ya sita katika msimamo sasa ikiwa ya 9 ikikusanya alama 11

Namungo wameshinda mechi tatu tu msimu huu, wakishika nafasi ya 12 na alama zao 9

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
44m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
56m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’