Ijumaa, Novemba 01 Mashujaa Fc itakuwa mwenyeji wa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc ambao utapigwa uwanja wa Lake Tanganyika, saa 10 jioni
Mashujaa wametanga viingilio vya mchezo huo jana ambapo tiketi za VIP ni Tsh 30,000/-, majukwaa mengine ni Tsh 10,000/- na wale wa kusimama watalipa kiingilio cha Tsh 5,000/-
Simba iliondoka jijini Dar es salaam mapema..... download Xtra 90 App



