Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola amesema wako matatani baada ya kupata majeraha zaidi walipochapwa 2-1 na Tottenham kwenye Kombe la Carabao na kuwaacha na wachezaji 13 pekee wa kikosi cha kwanza
Tayari bila Kyle Walker, Rodri, Oscar Bobb, Jeremy Doku, Kevin De Bruyne na Jack Grealish walikokosa mechi hiyo ya raundi ya nne]
Manuel Akanji alitolewa kabla ya mchezo kuanza huku..... download Xtra 90 App



