Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja unapigwa mkoani Kigoma. Mashujaa Fc watakuwa wenyeji wa Simba katika mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini
Wekundu wa Msimbazi waliotua Kigoma jana, watashuka dimba la Late Tanganyika wakifahamu ushindi dhidi ya Mashujaa leo utawahakikishia kusogea nafasi ya pili katika msimamo wa ligi





