Local,Normal News,Mashujaa, Simba

Simba yaunguruma Lake Tanganyika

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Nov 2024
Simba yaunguruma Lake Tanganyika

Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wametakata uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Pengine ni matokeo ya kikatili kwa Mashujaa Fc ambao jitihaza zao za angalau kupata alama moja katika mchezo huo zilipotea kwenye dakika ya 96 kwa bao la Steven Mukwala

Mpira wa kona uliochongwa na Awesu Awesu ulimkuta Mukwala akiwa hajakabwa baada ya walinzi wa Mashujaa kuzubaa na Mganda huyo kuujaza mpira kimiani

Simba ilitengeneza nafasi nyingi zaidi lakini kukosa umakini na uimara wa mlinda lango Erick Johora uliiweka Mashujaa mchezoni kwa muda mrefu

Ni ushindi ambao umeisogeza Simba katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 22 sawa na Singiida Black Stars ambao wamezidiwa mabao

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’