Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wametakata uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo wa ligi kuu ya NBC
Pengine ni matokeo ya kikatili kwa Mashujaa Fc ambao jitihaza zao za angalau kupata alama moja katika mchezo huo zilipotea kwenye dakika ya 96 kwa bao la Steven Mukwala
Mpira wa kona uliochongwa na Awesu Awesu ulimkuta..... download Xtra 90 App



