Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa jijini Dar es salaam na kule visiwani Zanzibar
Yanga itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika Derby ya Dar es salaam, mchezo ukitarajiwa kupigwa uwanja wa Azam Complex saa 12 jioni na kufuatiwa na mchezo kati ya Singida Black Stars dhidi ya Coastal Union utakaopigwa uwanja wa New Amaan Complex, saa 2:30 usiku





