Azam Fc imetakata uwanja wa Azam Complex ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo mkali wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Azam Complex
Azam Fc ilionekana kusaka ushindi mapema kwa kufanya mashambulizi mfululizo katika lango la Yanga
Makosa ya Ibrahim Bacca kumvuta Saadun aliyekuwa anaelekea langoni kuonana na Djigui Diarra yaliigharim Yanga baada ya beki huyo..... download Xtra 90 App



