Mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amezidi kuwachanganya mabosi wa Arsenal ambao wanaamini wana nafasi kubwa ya kumsajili baada ya kuondoka kwa kocha Ruben Amorim aliyejiunga na Manchester United
Arsenal ilijaribu kumsajili supastaa huyo katika dirisha lililopita la majira ya kiangazi, lakini ilishindikana na kiliripotiwa kukwamisha dili hilo ni Amorim ambaye alipambana..... download Xtra 90 App



