Mwishoni mwa wiki klabu ya Yanga kwa kushirikiana na GSM Foundation ilichangia TZS Millioni 50 kwenye harambee maalum iliyoendeshwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI kwa dhumuni la kusaidia matibabu ya watoto 1500 wanaotibiwa kwenye taasisi hiyo
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI ilitoa tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wa Yanga katika uhamasishaji na uchangiaji fedha wa..... download Xtra 90 App



