Essien afuzu mafunzo ya ukocha UEFA

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th November 2024


Essien afuzu mafunzo ya ukocha UEFA

Nyota wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Ghana Michael Essien amefuzu mafunzo ya ukocha akipata leseni ya UEFA

Hii ni awamu ya pili ya maisha yake ya soka baada ya kutamba akiwa mchezaji

Uamuzi wa nyota huyo wa zamani kuingia katika ukocha unaonyesha kujitolea kwake katika mchezo huo na kumpa nafasi ya kuhamasisha kizazi kijacho cha wachezaji

Kwa sasa ni sehemu ya benchi la ufundi la klabu ya Nordsjaeliglland ya Superliga ya Denmark


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.