Local,Normal News,Pamba, Fountain

Pamba Jiji mikononi mwa Fountain Gate leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Nov 2024
Pamba Jiji mikononi mwa Fountain Gate leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Novemba 05 ambapo mchezo mmoja utapigwa kule Manyara

Fountain Gate watakuwa wenyeji wa Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Kwaraa, Babati 

Wenyeji Fountain Gate wamekuwa na mwanzo mzuri katika ligi msimu huu wakishika nafasi ya 5 baada ya kucheza mechi 10 na kukusanya alama 17

Wanakutana na Pamba Jiji ambao hawajui radha ya ushindi katika ligi msimu huu. Pamba wanashika nafasi ya 15 wakiwa na alama tano tu

Vijana hao kocha Fleddy Felix Minziro wanapaswa kuanza kukusanya alama zaidi sasa kama hawataki kurejea katika ligi ya Championship msimu ujao

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’