Klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia inataka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri Mohamed Salah, 32, kabla ya Kombe la Dunia la Klabu msimu ujao. (Mirror)
Barcelona pia wanataka kumsajili Salah mkataba wake wa Liverpool utakapokamilika mwishoni mwa msimu huu. (Sport - kwa Kihispania)
Liverpool wanapania kufanya mazungumzo ya mkataba mpya na beki wao wa..... download Xtra 90 App



