Baada ya kipigo kutoka kwa Azam Fc, mabingwa watetezi ligi kuu ya NBC Yanga kesho Alhamisi watashuka uwanja wa Azam Complex kumenyana na Tabora katika mwendelezo wa ligi kuu ya NBC
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe ametamba kuwa watakwenda kuikabili Tabora United wakiwa na dhamira moja tu, kurejea katika mwenendo wao wa ushindi
Kamwe amesema anafahamu kupoteza kwa..... download Xtra 90 App



