Mbappe hataki kucheza namba 9 Real Madrid

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th November 2024


Mbappe hataki kucheza namba 9 Real Madrid

Ripoti ya vyombo vya habari vya Uhispania imedai kwamba nyota wa Real Madrid Kylian Mbappe hataki kucheza kama mshambuliaji wa kati katika klabu ya Real Madrid

Kulingana na gazeti la Uhispania la 'Sport', Mbappe amechoshwa kucheza kama mshambuliaji

Chanzo hicho kiliongeza kuwa nyota huyo wa Ufaransa anataka kucheza kama winga wa kushoto badala ya Vinicius Junior

Chanzo hicho kilihitimisha kuwa Mbappe anaamini kushuka kwa kiwango chake kunatokana na kucheza katika nafasi ya mshambuliaji wa moja kwa moja eneo ambalo hakuzoea kucheza kabla

Wakati yuko PSG Mbappe alifunga mabao mengi akitokea pembeni kama winga na amekuwa akifanya hivyo hata anapokuwa na timu ya Taifa ya Ufaransa

Hata hivyo katika klabu ya Real Madrid, kocha Carlo Ancelotti hupendelea kumtumia Vini Jr katika nafasi hiyo kwani amekuwa akifanya vizuri zaidi


  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE β†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE β†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE β†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE β†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE β†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’