Mabingwa watetezi Ligi Kuu ya NBC Yanga leo wako dimbani Azam Complex kuikabili Tabora United katika mchezo utakaopigwa saa 12 jioni
Yanga inakwenda katika mchezo huo bila ya walinzi wake tegemeo Ibrahim Bacca na Dickson Job wanaotumikia adhabu
Bacca alionyeshwa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya Azam Fc ambapo atakosa mechi tatu huku Job akitumikia adhabu ya kadi tatu za..... download Xtra 90 App



