Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, Patrick Aussems, amesema kikosi chake kitafanya 'maajabu' msimu huu kutokana na aina ya wachezaji alionao
Aussems amesema anaiona timu yake ikifanya vizuri msimu huu na kutoa ushindani kwa klabu kubwa hapa nchini katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara inayoendelea
"Nimekuwa hapa Tanzania kwa miaka kadhaa, naifahamu Ligi Kuu, najua timu kubwa..... download Xtra 90 App



