International,Normal News,Tottenham, Galatasaray

Aurier, Sanchez kuivaa Spurs Europa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Nov 2024
Aurier, Sanchez kuivaa Spurs Europa

Ange Postecoglou anaweza kuwa na kumbukumbu ya wiki zake za kwanza kama meneja wa Tottenham wakati timu yake itamenyana na Galatasaray

Spurs watamenyana na wababe wa Uturuki Super Lig katika Ligi ya Europa Alhamisi usiku na kutakuwa na watu wanaofahamika watakapotinga kwenye Uwanja wa RAMS Park mjini Istanbul

Wachezaji wa zamani wa Ligi Kuu ya Uingereza wanaunda washambuliaji wao, nyota wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech na Michy Batshuayi wakiongoza safu hiyo

Hata hivyo, katika safu ya ulinzi inaundwa na wachezaji wa zamani wa Tottenham Serge Aurier na Davinson Sanchez

Aurier alicheza kaskazini mwa London kutoka 2017 hadi 2021 na licha ya kuwa na wakati mzuri, aliondoka baada ya Postecoglou kutua

Kukutana tena na Sanchez kunaweza kuwa kiwewe zaidi kwa Postecoglou. Mchezaji huyo wa Colombia pia alisajiliwa mwaka 2017, akitokea Ajax, ambapo klabu hiyo hapo awali ilikuwa na mafanikio makubwa katika kuwapata mabeki wa kati wa hali ya juu Jan Vertonghen na Toby Alderweireld

Sanchez alionyesha kuwa tayari kupambana, lakini hakuwahi kuwa katika kiwango cha watangulizi wake, na mnamo 2023 maisha yake na Spurs yalimalizika baada ya  Postecoglou kutua

Aurier na Sanchez wanaamini Postecoglou ni sababu ya wao kuondoka Spurs na pengine leo watataka kumthibitishia, alikosea

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’