Tabora United imewashangaza mabingwa watetezi ligi kuu ya NBC Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex
Ikitumia mashambulizi ya kushitukiza, Tabora United ikwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao mawili yaliyofungwa Offen Chikola akimalizia kazi nzuri iliyofanywa na mshambuliaji wa zamani wa Yanga Yacouba Songne





