Kwa sasa furaha imetawala Msimbazi baada ya Simba kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi jana wakijihakikishia kubaki hapo kwa muda mrefu baada ya watani zao Yanga kuangukia pua mbele ya Tabora United wakichapwa mabao 3-1
Matokeo hayo yaliiacha Yanga katika nafasi ya pili ikiwa na alama 24 huku Simba ikibaki kileleni na alama 25 kila timu ikiwa imecheza mechi 10





