Baada ya kuwa nje ya uwanja wa takribani mwaka mzima, kiungo wa Azam Fc Sospeter Bajana amesema ana kazi ya kufanya ili kuhakikisha anarejea katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo
Eneo la kiungo la Azam Fc inayoshika nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kwa sasa linamilikiwa na viungo James Akaminko na Adolf Mtasingwa huku Feisal Salum 'Fe Toto' akitumika kama kiungo..... download Xtra 90 App



