Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' chini ya Kaimu Kocha Mkuu Suleiman Morocco na benchi lake la ufundi, inajifua katika uwanja wa KMC kujiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu fainali za Afcon 2025 zitakazofanyika mwakani huko Morocco
Tanzania itachuana na Ethiopia Novemba 16 huku Kinshasa DR Congo na Novemba 19 kuhimisha mechi ya mwisho dhidi ya Guinea Novemba 19 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Tanzania inahitaji kushinda mechi zote mbili ili kuwa na uhakika wa kufuzu pasipo kujali matokeo ya Guinea ambayo iko nafasi ya pili kundi H ikiwa na alama 6 wakati Tanzania ikishika nafasi ya tatu ikiwa na alama 4



