TS Galaxy ya Afrika Kusini ambayo Julai mwaka huu ilicheza mechi maalumu ya kirafiki na Yanga ikafungwa 1-0 inadaiwa ipo katika mazungumzo ya kumng'oa kocha wa KMC, Abdihamid Moallin ili akaifundishe timu hiyo
Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa KMC zimebainisha kuwa Moallin ni miongoni mwa makocha wanaotajwa kujiunga nao huku meneja wake akiwa katika mazungumzo hayo na viongozi wa TS..... download Xtra 90 App



