International,Transfer News,Chelsea, Manchester City

Lampard kuibukia Coventry City

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Nov 2024
Lampard kuibukia Coventry City

Frank Lampard anaongoza orodha ya wakufunzi wanaowana majukumu ya kuwa meneja wa kudumu wa Coventry City, mtandao wa talkSPORT umeripoti

Sky Blues ilimtimua kocha wake wa muda mrefu Mark Robins wiki hii baada ya kuanza kwa msimu vibaya na kuiacha klabu hiyo ikiwa nafasi ya 17 kwenye michuano hiyo

Kiungo huyo wa zamani wa England Lampard ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuchukua hatamu kwenye Uwanja wa CBS Arena

Lampard amekuwa nje ya kazi tangu alipomaliza muda wake kama meneja wa muda wa Chelsea mwaka 2023

Alikuwa amechukua usukani Stamford Bridge kwa mara ya pili baada ya kutimuliwa kwa Graham Potter. Jukumu la mwisho la Lampard lilikuwa na Everton

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’