Frank Lampard anaongoza orodha ya wakufunzi wanaowana majukumu ya kuwa meneja wa kudumu wa Coventry City, mtandao wa talkSPORT umeripoti
Sky Blues ilimtimua kocha wake wa muda mrefu Mark Robins wiki hii baada ya kuanza kwa msimu vibaya na kuiacha klabu hiyo ikiwa nafasi ya 17 kwenye michuano hiyo
Kiungo huyo wa zamani wa England Lampard ndiye anayepewa..... download Xtra 90 App



