Local,Normal News,Yanga

Gamondi aibuka mazoezi ya Yanga Gymkhana

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Nov 2024
Gamondi aibuka mazoezi ya Yanga Gymkhana

Baada ya kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Tabora United, tetesi ziligubika hatma ya Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi

Uongozi wa mabingwa hao wa soka Tanzania Bara kwa misimu mitatu mfululizo ulitaka majibu kutoka kwake kwa nini timu imepoteza mechi mbili mfululizo?

Hata hivyo inaonekana Gamondi amepewa nafasi nyingine baada ya leo kuonekana akisimamia mazoezi yaliyofanyika katika Gymkhana

Yanga imerejea mazoezini leo baada ya mapumziko ya siku chache kuanza maandalizi ya mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Al Hilal utakaopigwa Novemba 26 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Alex Ngai, amesema bado wana imani na Gamondi akiwataka wanachama na mashabiki wa timu hiyo kutokuwa na wasiwasi wowote kwani viongozi wa Yanga bado wana ushirikiano na kocha huyo pamoja na benchi lake la ufundi

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’