Arsenal wako tayari kutumia pauni milioni 83 (euro milioni 100) kumnunua kiungo wa kati wa West Ham Mohammed Kudus huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Ghana mwenye umri wa miaka 24 akitaka kujiunga na The Gunners kucheza soka la Ulaya. (Fichajes - In Spanish)
..... download Xtra 90 App



