Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ana matumaini makubwa kuwa project aliyopewa ya kuisuka upya Simba itakuwa na manufaa
Baada ya kutofanya vizuri soka la ndani kwa misimu mitatu mfululizo, Rais wa Heshima wa Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' alifanya uwekezaji mkubwa katika usajili uliopita ambapo takribani Bilioni 8 zilitumika kufanya usajili
Fadlu amesema yeye amekuja na falsafa..... download Xtra 90 App



