Local,Normal News,Simba

Fadlu ajivunia mwanzo mzuri Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Nov 2024
Fadlu ajivunia mwanzo mzuri Simba

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ana matumaini makubwa kuwa project aliyopewa ya kuisuka upya Simba itakuwa na manufaa

Baada ya kutofanya vizuri soka la ndani kwa misimu mitatu mfululizo, Rais wa Heshima wa Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' alifanya uwekezaji mkubwa katika usajili uliopita ambapo takribani Bilioni 8 zilitumika kufanya usajili

Fadlu amesema yeye amekuja na falsafa yake ambayo inaendana na aina ya wachezaji alionao ambao wengi umri wao bado ni mdogo

"Nipo kwenye klabu ya Simba ambapo kuna project mpya yenye wachezaji wengi wapya ambao wamefanya vizuri kwenye klabu walizotoka"

"Mimi kama mwalimu nilianza kuweka mbinu zangu ambazo niliamini zitaisaidia hii project kuanzia siku ya kwanza ya Pre Season"

"Kama Kocha mbinu zako zinategemea zaidi wachezaji ulionao, ikitokea ukaona unaweka mbinu fulani na wachezaji inawapa shida unaiweka pembeni na kujaribu mbinu nyingine hivyo ndivyo ambavyo nafanya," alisema Fadlu katika mahojiano na L'VESTIAIRE PODCAST

Fadlu amefanikiwa kuiimarisha Simba katika miezi yake minne ya kwanza akiiweka Simba kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya mechi 10

Aidha chini yake, Simba pia ilitinga hatua ya makundi kombe la Shirikisho la CAF

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’