Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajia kuondoka nchini kesho Alhamisi kwa ajili ya mchezo wa tano wa kusaka tiketi ya kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, dhidi ya Ethiopia, mechi itakayopigwa Jumamosi
..... download Xtra 90 App



