Simba Queens yaichapa Yanga Princess 1-0

Joel JJ By Joel JJ β€’ 13th November 2024


Simba Queens yaichapa Yanga Princess 1-0

Bao la Vivien Corozane limetosha kuihakikishia Simba Queens ushindi wa bo 1-0 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa ligi kuu ya Wanawake, WPL uliopigwa uwanja wa KMC Complex leo

Huo ni ushindi wa nne mfululizo kwa Simba Queens ambayo imeendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 12

Kipigo kicho kinawacha Yanga Princess na hali mbaya zaidi kwani wamekosa ushindi katika mechi nne mfululizo

Kabla ya kupoteza mchezo wa leo, Yanga Princess ilitoka sare mechi zote tatu zilizopita


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.