Simba Queens yaichapa Yanga Princess 1-0

Joel JJ By Joel JJ β€’ 13th November 2024


Simba Queens yaichapa Yanga Princess 1-0

Bao la Vivien Corozane limetosha kuihakikishia Simba Queens ushindi wa bo 1-0 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa ligi kuu ya Wanawake, WPL uliopigwa uwanja wa KMC Complex leo

Huo ni ushindi wa nne mfululizo kwa Simba Queens ambayo imeendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 12

Kipigo kicho kinawacha Yanga Princess na hali mbaya zaidi kwani wamekosa ushindi katika mechi nne mfululizo

Kabla ya kupoteza mchezo wa leo, Yanga Princess ilitoka sare mechi zote tatu zilizopita


  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE β†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE β†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE β†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE β†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE β†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’