International,Normal News,Al Ahly

Nyota Al Ahly ahukumiwa kifungo jela

Joel JJ By Joel JJ
14 Nov 2024
Nyota Al Ahly ahukumiwa kifungo jela

Mchezaji wa kimataifa wa Al Ahly na timu ya taifa ya Misri, Emam Ashour amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kumpiga mlinzi

Awali Ashour hakupatikana na hatia na Mahakama ya mwanzo, lakini upande wa mashtaka ulikata rufaa dhidi ya uamuzi huo, na kusababisha kifungo cha miezi sita jela kilichotolewa na Mahakama ya rufaa

Wakili wa Ashour, Mohamed Othman, alisema hukumu hiyo ilitolewa bila kuwepo mahakamani

Othman alieleza kuwa si Emam Ashour wala timu yake ya wanasheria waliofahamishwa kuhusu rufaa na kwa sababu hiyo, hawakuhudhuria usikilizwaji huo

Wakili wa Emam alithibitisha kwamba watakata rufaa dhidi ya uamuzi huo, ambao utasimamisha kwa muda hukumu hiyo

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
26m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
2h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
12h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
13h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
20h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
21h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →