Local, International, Normal News,Yanga, Simba

FIFA kuja na mbadala wa VAR

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Nov 2024
FIFA kuja na mbadala wa VAR

Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limepanga kuanzisha mfumo mpya wa Football Video Support utakaoitwa kwa kiufupi Kwa jina la FVS

Mfumo huo unaandaliwa Ili kuja kuwa mbadala wa Video Assistant Referee VAR

FIFA wameeleza kuwa mfumo huo utakuwa Bora zaidi na rahisi kutumika

FVS utakuwa na camera system kuanzia 4-5 kwa ajili ya kufanya review ya matukio tata yanayotakiwa kufanyiwa maamuzi sahihi

Makocha wa timu mbili zitakazokuwa kiwanjani wanaruhusiwa kumwambia mwamuzi akafanye review mara mbili ndani ya mchezo kama kuna matukio wameona hajatoa maamuzi sahihi

Mwamuzi pekee ndie atakaeruhusiwa kwenda kuangalia review kwenye FVS pindi atakapopokea malalamiko ya makocha kwenye matukio tata ambayo maamuzi yake wanaona kama hayajaenda sawa

FIFA

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’