FIFA kuja na mbadala wa VAR

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th November 2024


FIFA kuja na mbadala wa VAR

Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limepanga kuanzisha mfumo mpya wa Football Video Support utakaoitwa kwa kiufupi Kwa jina la FVS

Mfumo huo unaandaliwa Ili kuja kuwa mbadala wa Video Assistant Referee VAR

FIFA wameeleza kuwa mfumo huo utakuwa Bora zaidi na rahisi kutumika

FVS utakuwa na camera system kuanzia 4-5 kwa ajili ya kufanya review ya matukio tata yanayotakiwa kufanyiwa maamuzi sahihi

Makocha wa timu mbili zitakazokuwa kiwanjani wanaruhusiwa kumwambia mwamuzi akafanye review mara mbili ndani ya mchezo kama kuna matukio wameona hajatoa maamuzi sahihi

Mwamuzi pekee ndie atakaeruhusiwa kwenda kuangalia review kwenye FVS pindi atakapopokea malalamiko ya makocha kwenye matukio tata ambayo maamuzi yake wanaona kama hayajaenda sawa

FIFA


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.