Beki wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Arnold anaendelea kukataa ofa za kuongeza mkataba wake Anfield huku Real Madrid wakiendelea na mazungumzo ya kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 mkataba wake wa sasa utakapokamilika msimu ujao wa joto. (Relevo - Spanish)
..... download Xtra 90 App



