Local,Normal News,Yanga

Gamondi afutwa kazi Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Nov 2024
Gamondi afutwa kazi Yanga

Zilianza kama tetesi hatimaye leo uongozi wa Yanga umetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wake mkuu Miguel Gamondi pamoja na Kocha Msaidizi Moussa Ndaw

Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na Yanga mapema leo, mikataba ya makocha hao imesitishwa mara moja huku mchakato wa kusaka warithi wao ikianza

Kibarua cha Gamondi kiliingia mashakani baada ya kupoteza mechi mbili za ligi kuu dhidi ya Azam Fc na Tabora United

Aliyekuwa Kocha wa KMC Abdihamid Moallin anatarajiwa kutangazwa kuwa kocha msaidizi wa Yanga huku Kheireddine Madoui raia wa Algeria akitarajiwa kuwa kocha mkuu akitokea klabu ya CS COnstantine

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
59m ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
10h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’