Sead Ramovic arithi mikoba ya Gamondi Yanga

Joel JJ By Joel JJ โ€ข 15th November 2024


Sead Ramovic arithi mikoba ya Gamondi Yanga

Yanga imekuja na surprise ya aina yake baada ya kumtangaza Sead Ramovic kuwa Kocha Mkuu akichukua nafasi iliyoachwa na Miguel Gamondi

Awali jina la kocha raia wa Algeria Kheireddine Madoui ndio lililokuwa likitajwa zaidi kumrithi Gamondi

Ramovic ni kocha raia wa Ujerumani ambaye alikuwa akiinoa klabu ya TS Galaxy inayoshiriki ligi kuu ya Afrika Kusini

Kabla ya Galaxy aliwahi kuwa kocha msaidizi wa Novi Pazar iliyopo ligi kuu nchini Serbia

Ramovic (45) si kocha mwenye CV kubwa sana lakini kama mchezaji ametamba katika klabu mbalimbali kunako ligi kuu ya Ujerumani, Bundesligaย 

Yanga inakuwa klabu yake ya pili kuifundisha Afrika baada ya TS Galaxy


  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE โ†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE โ†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE โ†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE โ†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE โ†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE โ†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE โ†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE โ†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE โ†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE โ†’