Local,Transfer News,Yanga

Sead Ramovic arithi mikoba ya Gamondi Yanga

Joel JJ By Joel JJ
15 Nov 2024
Sead Ramovic arithi mikoba ya Gamondi Yanga

Yanga imekuja na surprise ya aina yake baada ya kumtangaza Sead Ramovic kuwa Kocha Mkuu akichukua nafasi iliyoachwa na Miguel Gamondi

Awali jina la kocha raia wa Algeria Kheireddine Madoui ndio lililokuwa likitajwa zaidi kumrithi Gamondi

Ramovic ni kocha raia wa Ujerumani ambaye alikuwa akiinoa klabu ya TS Galaxy inayoshiriki ligi kuu ya Afrika Kusini

Kabla ya Galaxy aliwahi kuwa kocha msaidizi wa Novi Pazar iliyopo ligi kuu nchini Serbia

Ramovic (45) si kocha mwenye CV kubwa sana lakini kama mchezaji ametamba katika klabu mbalimbali kunako ligi kuu ya Ujerumani, Bundesliga 

Yanga inakuwa klabu yake ya pili kuifundisha Afrika baada ya TS Galaxy

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
7h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
13h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
13h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
19h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →