Mapema leo Yanga ilitangaza viingilio vya mchezo wa kwanza hatua ya makundi michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Al Hilal utakaopigwa Jumanne, Novemba 26 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 10 jioni
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe alitaja viingilio hivyo ambapo VIP A ni Tsh 30,000/-, VIP B Tsh 20,000/-, VIP C Tsh 10,000/-, Machungwa na Mzunguuko ni Tsh..... download Xtra 90 App



