Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

FT : Ethiopia 0-2 Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Nov 2024
FT : Ethiopia 0-2 Tanzania

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeweka hai matumaini ya kufuzu fainali za Afcon 2025 ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ethiopia katika mchezo uliopigwa Kinshasa, DR Congo

Alikuwa ni Saimon Msuva aliyeitanguliza Tanzania kwa bao la kichwa dakika 15 akimalizia mpira wa kona uliopigwa Novutus Dismas

Ikicheza kwa kujiamini na kutawala mchezo katika kipindi cha kwanza, Stars iliongeza bao la pili katika dakika 31 likifungwa Feisal Salum akimalizia pasi nzuri kutoka kwa Mudathir Yahya

Baada ya kwenda mapumziko na uongozi wa mabao 2-0, kipindi cha pili Stars ilicheza kwa tahadhari zaidi ili kulinda uongozi na hatimaye kufanikiwa kuibuka na ushindi

Ni matokeo ambayo yameirejesha Stars nafasi ya pili kundi H baada ya kufikisha alama 7 ikiwa ni kabla ya mchezo kati ya Guinea dhidi ya DR Congo

Tanzania sasa inahitaji kushinda mchezo kuhitimisha hatua ya makundi Novemba 19 dhidi ya Guinea uwanja wa Benjamin Mkapa

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’