Singida Black Stars yaichapa Fountain Gate 3-1

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th November 2024


Singida Black Stars yaichapa Fountain Gate 3-1

Mchezo wa kirafiki kati ya Fountain Gate dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa uwanja wa Tanzanite Kwaraa huko Manyara umemalizika kwa Fountain Gate kukubali kichapo cha mabao 3-1

Mabao mawili ya Elvis Rupia na bao moja la Joseph Guede lilitosha kuihakikishia Singida BS ushindi katika mchezo huo wa kujipima yakiwa ni maandalizi kuelekea mechi za ligi kuu zitakazofuata baada ya kukamilika mapumziko ya kalenda ya FIFA


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.