International,Transfer News,Galatasaray, Chelsea, Napoli

Osimhen njia nyeupe Uingereza

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Nov 2024
Osimhen njia nyeupe Uingereza

Mshambuliaji wa Napoli na Nigeria, Victor Osimhen, ambaye kwa sasa anaichezea kwa mkopo Galatasaray anaweza akajiunga na timu yoyote anayohitaji katika dirisha la majira ya kiangazi mwakani ikiwa itakuwa tayari kulipa Euro 75 milioni

Osimhen mwenye umri wa miaka 25, mkataba wake wa sasa na Napoli unatarajiwa kumalizika mwaka 2026

Staa huyu anawindwa na timu nyingi ndani na nje ya bara la Ulaya ikiwemo na Galatarasay anayoichezea kwa sasa ambayo ipo tayari kulipa kiasi cha pesa kinachotakiwa ili kumnunua

Hata hivyo, staa huyu anadaiwa kuwa bado anahitaji kucheza soka la kiushindani na kuna uwezekano wa kutua England mwisho wa msimu huu

Klabu ya Chelsea imeonyesha bado inahitaji kumsajili baada ya kushindwa kufanya hivyo katika dirisha lililopita

Akiwa na Galatasaray msimu huu, Osimhen amecheza mechi tisa na kufunga mabao manane.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’