Mshambuliaji wa Manchester City, Erling Haaland alifunga hat-trick na kuisaidia Norway kuongoza Kundi B3 katika Ligi ya Mataifa baada ya kushinda 5-0 dhidi ya Kazakhstan Jumapili
Haijalishi jezi gani Erling Haaland anavaa lakini magoli ni uhakika. Fowadi huyo wa Man City aliendelea na kiwango chake cha moto katika Ligi ya Mataifa Jumapili alipofunga mabao matatu katika ushindi wa Norway..... download Xtra 90 App



