International,Normal News,PSG

Ligi 1 bila Messi imeshuka thamani - Petit

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Nov 2024
Ligi 1 bila Messi imeshuka thamani - Petit

Nyota wa zamani wa Arsenal na timu ya Taifa ya Ufaransa Emanuel Petit amesema kuondoka kwa Messi nchini Ufaransa ambapo alikuwa anakipiga PSG kumefanya kushuka thamani kwa kwa Ligi 1 tofauti na ilivyopanda kutokana na uwepo wake

Messi aliondoka Ufaransa msimu uliopita akielekea Marekani ambapo alijiunga na klabu ya Inter Miami

Petit anaamini kuondoka kwa Messi kumekuwa na athari kubwa zaidi kuliko nyota wengine kama Neymar na Kylian Mbappe

"Ligue 1 imeshuka thamani sana kibiashara,haina mvuto sokoni mara baada ya Lionel Messi kuondoka"

"Kipindi anajiunga na PSG ligi ilikuwa chini lakini ndani ya muda mfupi Ligi ilipata wafuatiliaji wengi sana na watu wa TV waliuza sana matangazo yao"

"Kwasasa imekuwa tofauti ligi haina mvuto tena kibiashara. Neymar pamoja na Mbappe pia kuondoka kwao kumechangia ila Messi ndio kamaliza kabisa hakuna anaefuatilia tena,wengi wamebase na RSL na MLS,mpaka hizo ligi zimetuzidi sisi," alisema Petit

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
10h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
12h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’