Baada ya mapumziko ya mwishoni mwa wiki, kikosi cha Yanga kinarejea mazoezini kuendelea na maandalizi ya mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Al Hilal utakaopigwa Jumanne, Novemba 26 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Yanga inarudi mazoezini ikiwa na mabadiliko ya benchi la ufundi ambapo itakuwa siku ya kwanza kazini kwa Kocha Mkuu Sead Ramovic pamoja na kocha msaidizi Mustafa Kodro sambamba..... download Xtra 90 App



