Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Stars yaramba 700M baada ya kufuzu Afcon 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Nov 2024
Stars yaramba 700M baada ya kufuzu Afcon 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Sh700 milioni kama pongezi baada ya timu hiyo kufuzu Afcon 2025 itakayofanyika mwakani nchini Morocco

Stars imefuzu kwenye mashindano hayo Kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuitandika Guinea bao 1-0, katika mchezo wa kuhitimisha hatua ya makundi uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jana. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Simon Msuva katika dakika ya 61

Akizungumza kwa niaba ya Rais Samia, Waziri wa Utamadini Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amesema zawadi hiyo imetolewa kwa kuthamini kupambana kwao hadi kufuzu, na tayari pesa hizo zimeingizwa kwenye akaunti ya Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo

Pia Stars imepewa mualiko wa kutembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Februari mwakani

Tanzania ni miongoni mwa timu 24 zilizofuzu kwa michuano hiyo

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’