Manchester United huenda ikamtumia straika wake raia wa Uholanzi, Joshua Zirkzee, 23, kama sehemu ya mabadilishano ili kuipata huduma ya straika wa Napoli na Nigeria ambaye kwa sasa anaichezea kwa mkopo Galatasaray, Victor Osimhen, 25
Osimhen ambaye mkataba wake na Napoli unamalizika 2026, anadaiwa kuwa na shauku ya kutaka kucheza katika Ligi Kuu England baada ya kushindwa kufanikisha..... download Xtra 90 App



