International,Transfer News,Galatasaray, Manchester United, Napoli

Manchester United kujitosa kwa Osimhen

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Nov 2024
Manchester United kujitosa kwa Osimhen

Manchester United huenda ikamtumia straika wake raia wa Uholanzi, Joshua Zirkzee, 23, kama sehemu ya mabadilishano ili kuipata huduma ya straika wa Napoli na Nigeria ambaye kwa sasa anaichezea kwa mkopo Galatasaray, Victor Osimhen, 25

Osimhen ambaye mkataba wake na Napoli unamalizika 2026, anadaiwa kuwa na shauku ya kutaka kucheza katika Ligi Kuu England baada ya kushindwa kufanikisha hilo katika dirisha lililopita Ulaya kutokana na dili lake la kujiunga na Chelsea kukwama katika dakika za mwisho mwisho

Kwa sasa bado kuna timu nyingi barani Ulaya zinazoonyesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo kutokana na kiwango ambacho ameendelea kukionyesha tangu kuanza kwa msimu huu akiwa na Galatasaray katika Ligi Kuu Uturuki ambapo amecheza mechi tisa za michuano yote na kufunga mabao nane

Baadhi ya taarifa zinaeleza kwamba Galatasaray pia inafikiria kumpa ofa nono kwa ajili ya kumbakisha ili aendelee kusalia

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’