Yanga yatambulisha jezi za CAF CL

Joel JJ By Joel JJ β€’ 20th November 2024


Yanga yatambulisha jezi za CAF CL

Muda mchache baada ya watani zao Simba kutambulisha jezi watakazotumia katika michuano ya kombe la Shirikisho kuanzia hatua ya makundi, klabu ya Yanga inayoshiriki ligi ya mabingwa nayo imetambulisha jezi zake kwa ajili ya michuano hiyo

Mbunifu wa jezi za klabu hiyo Sheria Ngowi ameendelea kujipambanua katika ubunifu wake


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.