Mshambuliaji Fahad Bayo raia wa Uganda amepata nafasi ya kujifua na kikosi cha Yanga ambapo kama benchi la ufundi litaridhika nae, anaweza kusajiliwa na mabingwa hao wa Tanzania Bara, imefahamika
Bayo ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba katika klabu ya MFK Vyskov inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Czech
Bayo aliitumikia MFK Vyskov katika mechi 42 akifunga mabao nane..... download Xtra 90 App



