Drinkwater ageukia ujenzi baada ya kustaafu

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st November 2024


Drinkwater ageukia ujenzi baada ya kustaafu

Kiungo wa zamani wa Chelsea na Leicester City raia wa Uingereza Dani Drinkwater ambaye alishinda ubingwa EPL akiwa na Leicester City mwaka wa 2016, sasa ni mtaalam wa ujenzi

Baada ya kuitumikia Leicester City kwa mafanikio, Drinkwater alisajiliwa na Chelsea mwaka wa 2017 kabla ya kutolewa kwa mkopo katika klabu ya Burnley

Kandarasi yake na Chelsea ilifikia ukomo Juni 2022 ambapo mchezaji huyo hakuweza kupata klabu mpya, alitangaza kustaafu soka la kulipwa mnamo Mei 2023

Drinkwater sasa anafanya kazi katika ujenzi. Katika mahojiano na The Telegraph, alitaja kufurahia kazi anayoifanya kwa sasa


  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE β†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE β†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE β†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE β†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE β†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’