Drinkwater ageukia ujenzi baada ya kustaafu

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st November 2024


Drinkwater ageukia ujenzi baada ya kustaafu

Kiungo wa zamani wa Chelsea na Leicester City raia wa Uingereza Dani Drinkwater ambaye alishinda ubingwa EPL akiwa na Leicester City mwaka wa 2016, sasa ni mtaalam wa ujenzi

Baada ya kuitumikia Leicester City kwa mafanikio, Drinkwater alisajiliwa na Chelsea mwaka wa 2017 kabla ya kutolewa kwa mkopo katika klabu ya Burnley

Kandarasi yake na Chelsea ilifikia ukomo Juni 2022 ambapo mchezaji huyo hakuweza kupata klabu mpya, alitangaza kustaafu soka la kulipwa mnamo Mei 2023

Drinkwater sasa anafanya kazi katika ujenzi. Katika mahojiano na The Telegraph, alitaja kufurahia kazi anayoifanya kwa sasa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.